Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

CCM NA CHADEMA WAWASILISHA MAONI YAO TUME YA MABADILIKO YA KATIBA


Chadema wawasilisha maoni yao Katiba Mpya
Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba (kulia) wakiongozwa na Dkt. Salim Ahmed Salim wapokea maoni kuhusu Katiba Mpya kutoka kwa uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ulioongozwa na Mwenyekiti wake Ndg. Freeman Mbowe katika Ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam leo Jumatatu Januari 7, 2013.
Chenge akiwasilisha maoni ya CCM Tume ya KatibaMmoja wa Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Andrew Chenge akiwasilisha maoni ya chama chake kuhusu Katiba Mpya katika mkutano na Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo Januari 7, 2013.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top