Mkazi wa jiji akipita karibu na lundo la matawi ya miti yaliyotelekezwa
kwa zaidi Wiki moja katika makutano ya Mtaa wa Mosque na Mshihiri Posta,
Dar es Salaam juzi. Ukataji wa miti na kuachwa katika barabara pamoja
na kuchafua mazingira pia unasababisha kero kwa watumiaji wa barabara
hizo.
Picha na Peter Twite
Post a Comment