Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA YETU

Dogo akiwa amejipumzisha chini ya kivuli cha Bango pembezoni mwa barabara iendayo Mikoa ya Moshi,Arusha karibia na Segera akisubiria wateja ambao ni abiria wanaposimama na mabasi ili kuweza kuwauzia vinu vidogo vilivyonakshiwa vizuri.Imekuwa ni kawaida kuwakuta vijana wengi wakijitafutia kipato kwa kufanya biashara ndogo ndogo kwa abiria huku wengine wakionekana na umri mdogo wa kuwa shule.

Picha na Chedi
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top