Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KUCHIMBA DAWA NJIANI BAADHI WAANZA KUTEKELEZA

 Abiria wakishuka ili kwenda kuchimba dawa katika maliwato za kituo cha mafuta na mizani tofauti na zamani ambapo walikuwa wanaingia porini hii ni kutokana na agizo la Serikali kupiga marufuku kuchimba dawa ovyo.SOMA:Mwakyembe:Marufuku kuchimba dawa.
 Basi la satelite linaloelekea Tanga likiwa limepaki ili abiria kuweza kujisaidia''kuchimba dawa'' kama inavyojulikana  katika maliwato za kituo cha mafuta kilichoko pembezoni mwa barabara kuu iendayo Mikoa YaTanga,Moshi na Arusha kituo hicho kipo kwenye mizani mipya ya Chalize.
 Kituo cha Mafuta LUGOBA kama kinavyonekana  kikiwa na mandhari nzuri ya kupendeza

Picha na  Chediel

Hapo mwanzo Serikali ilisema 'kuchimba dawa' porini ni kitendo cha aibu na kudhalilisha utu wa binadamu SOMA:Serikali yasema ‘kuchimba dawa’ porini ni aibu.

Hivyo ikaamua kupiga marufuku 'kuchimba dawa' ovyo njiani na kuja na mkakati wa kuainisha vituo vya abiria 'kuchimba dawa'.

Ikiwa na mikakati ya kuzuia hali hiyo Serikali ilitangaza vituo vya 'kuchimba dawa' SOMA:Vituo vya 'kuchimba dawa' vyatangazwa.

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top