Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA:KIKAO CHA DHARURA CHA BARAZA KUU LA CHADEMA JANA


Mbunge wa Ubungo John Mnyika akitete jambo na Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Willbroad Slaa (kulia) wakati wa Kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Chadema kilichofanyika jijini Dar es Salaam, leo. (Picha na Habari Mseto Blog)
Mbunge Kigoma, Zitto Kabwe akiwasikiliza kwa makini wajumbe wa kikao cha dharura cha Baraza Kuu la Chadema kutoka mkoa wa Mtwara.
Mbunge wa Ubungo, John Mnyika akiwa amepozi na baadhi ya wajumbe.
Baadahi ya wabunge wa Chadema wakiwa katika kikao hicho.
Kazi imeanza
Muasisi wa Chadema, Edwin Mtei akiingia katika ukumbi wa mkutano huku akifuatana na Mwenyekiti wa Chadema, Freema Mbowe.
Wajumbe wa mkutano.
Katibu Mkuu Dk. Willbroad Slaa akizungumza katika mkutano huo.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akifungua mkutano huo
Wajumbe wa Kamati Kuu.
Peoples Power
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akimkabidhi kadi ya uanchama wa chama hicho aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama cha NCCR-Mageuzi, Clemence Tara baada ya kujiunga na chama hicho.
Pokea katiba ya chama cha Chadema
Bidhaa mbalimbalio zenye nembo ya Chadema zikiuzwa 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top