Magari 18,pikipiki 7 yateketezwa kwa moto.vyote vikiwa ni mali za
halmashauri ya masasi na baadhi ni vya watumishi wa halmashauri hiyo.
Magari mengine yaliyochomwa moto katika kadhia hiyo ya wananchi wa Mtwara walipoandamana.
Pichani Gari “AMbulance” la Halamashauri likiwa limeteketea kwa moto
Genereta nalo halikusalimika kwani nalo liliwashwa moto.
Picha na Jamii Forums
Post a Comment