Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA:NAPE AKIPIGA NYUNDU,KUBEBA MAWE NA WANANCHI KASULU

 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye leo ameshiriki katika shughuli za ujenzi wa madarsa katika Shule ya Sekondari Nyasha Wilayani Kasulu.

 




 




Miongoni mwa Shughuli hizo alizoshiriki ni pamoja na kuunganisha kenchi, kubeba mawe na kupiga ripu chumba kimoja wapo cha madarasa na kumalizia na kupanda mti katika uwanja wa shule hiyo.
 
Picha na Father Kidevu Blog 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top