Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MVUA YAEZUA MAPAA YA NYUMBA 23 NA KUHARIBU MIGOMBA ZAIDI YA 300 WILAYA YA HAI,KILIMANJARO

Mkuu wa Wilaya ya Hai,Mhe.Novatus Makunga amesema kumetoea  Maafa mvua yenye upepo mkali jana imeezua mapaa ya nyumba nne shirimgungani na nyumba kumi na mbili kwatito na migomba zaidi ya mia tatu,misaada ya kibinadamu inahitajika.

 Mojawapo ya nyumba zilizoezuliwa paa na kuanguka kabisa kutokana na Maafa wilayani Hai,nyumba 23 zimeezuliwa mapaa,nne kati ya hizo zimeanguka kabisa,misaada ya kibinadamu inahitajika kwa ajili ya wahanga wa mvua hiyo.
(Picha kwa Hisani ya Mkuu wa Wilaya)


author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top