|
Ndege
ya Rais Kikwete ikiwasili Kigoma leo tayari kwa sherehe za miaka 36
ya CCM zitakazo fanyika kesho Kigoma kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika. |
|
Rais
Kikwete akiteremka kwenye ndege leo katika uwanja wa ndege wa Kigoma
tayari kwa sherehe za miaka 36 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi. |
|
Mwenyekiti
wa CCM Taifa ,Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mjumbe wa NEC
mkoa wa Kigoma Kilumbe Ng'enda mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa
Kigoma leo tayari kwa sherehe za kuzaliwa kwa CCM. |
|
Mwenyekiti
wa CCM akisalimiana na wananchi wa Kigoma waliokuja kwa wingi kumpokea ,
Mwenyekiti yupo Kigoma kwa ajili ya sherehe za miaka 36 ya CCM. |
|
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete ambaye pia ndio Mwenyekiti wa CCM,akiwa pamoja na
Nape Nnauye Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi kwenye uwanja wa ndege
Kigoma. |
|
Rais
Jakaya Kikwete akimsikiliza mtangazaji wa Radio Uhuru ,Stephen Mhina
ambaye alitaka kujua pamoja na maendeleo yote yaliofanyika Kigoma,
Mheshimiwa rais alimjibu kuwa "tunatimiza wajibu" |
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Siasa
on Saturday, February 2, 2013
Post a Comment