![]() |
Mshambuliaji wa Yanga,Hamisi Kiiza akipiga shuti mbele ya beki wa Mtibwa Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara katika Uwanja wa Taifa,Jiji Dar es Salaam,katika Mechi iliyoishia kwa Yanga 1-1 Mtibwa Sugar
![]() |
Beki wa Mtibwa akijitahidi kula sahani moja na Kiiza aliyekuwa mwiba mkali kwa beki ya Mtibwa ambao mara kwa mara alikuwa akibisha hodi langoni mwao.
![]() |
Jerry Tegete akijaribu kufunga lakini kipa wa Mtibwa Sugar Hussein Sharrid'Casillas' akizuia mchomo huo
![]() |
Mfungaji wa bao la Mtibwa Sugar,Shaaban Kisiga'Malone' akimiliki mpira mbele ya viungo wa Yanga,Athumani Iddi'chuji' na Mbuyu Twite(kulia)
![]() |
Wachezaji wa Mtibwa Sugar wakipongezana baada ya Kisiga kuipatia timu bao
![]() |
Hamisi Kiiza(wa pili kutoka kushoto) na Said Bahanuzi ambao walianzia bechi kabla ya kuingia na kufanikiwa kuisawazishia Yanga
![]() |
Golikipa wa Mtibwa akiondoa mpira wa hatari langoni mwake
![]() |
Golikipa wa Mtibwa Sugar akiondoa mpira miguuni mwa Tegete aliyekuwa anaelekea kufunga goli.
![]() |
Didier Kavumbagu akiwa amefanikiwa kumtoka kipa lakini akapiga nje ya Lango katika mshangao wa wengi
![]() |
Kavumbagu akimlamba kipa wa Mtibwa Sugar chenga
![]() |
Tegete liwekwa chini ya Ulinzi mkali leo
![]() |
Tegete akiwa hana la kufanya baada ya kushindwa kutumbukiza mpira wavuni huku golikipa nae akiwa ameukodolea macho.
![]() |
Haruna Niyonzima akimiliki mpira mbele ya wachezaji wa Mtibwa
![]() |
Casillas akizuia shuti la Msuva
![]() |
Msuva akimtoka Issa Rashid 'Baba Ubaya' ambae alikuwa na kazi nzito leo mbele ya wachezaji wa Yanga 'Wazee wa Uturuki'
![]() |
Wachezaji wakiwa hawaamini kama Mpira umtinga nyavuni,Mtibwa wakiandika bao huku Yanga wakibaki wakilaumiana.
![]() | ||
Golikipa wa Mtibwa akiwa haamini kunako dakika ya 85 ya mchezo pale Yanga waliposawazisha kupitia kwa Kiiza anaeshangilia huku akifuatiwa na Tegete katika mechi iliyoishia kwa Yanga 1-1 Mtibwa.
Picha na Bongo Staz Blog
Post a Comment