Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KAJALA AOKOLEWA NA WEMA

Msanii maarufu wa tasnia ya filamu nchini Wema Sepetu jana aliweza kumuepushia msanii mwenzie wa kike(KAJALA (pichani)


Kajala wakiwa na mumewe wakisubiri hukumu

Baba Kajala akishauriana  na baadhi ya wasanii

Msanii maarufu wa tasnia ya filamu nchini Wema Sepetu jana aliweza kumuepushia msanii mwenzie wa kike(KAJALA) kifungo cha miaka mitano  jela baada ya kumlipia faini ya Tsh milioni 13.Kajala Masanja aliachiwa huru jana baada ya kusota rumande kwa muda mrefu kutokana na kukabiliwa  na kesi ya kuuza nyumba iliyowekwa kizuizini na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) baada ya mumewe, Faraji Agustino kukumbwa na tuhuma za kutakatisha fedha haramu. Katika kesi hiyo, Kajala alihukumiwa kwenda jela miaka 5 au kulipa faini ya shilingi milioni 13 wakati Mumewe  Faraji  amehukumiwa kwenda jela miaka mitano au kulipa faini ya shilingi milioni 213. 

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top