Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KINANA NA UJUMBE WAKE WATEMBELEA KIWANDA CHA VIATU TIANJIAN, CHINA


Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (wapili kushoto) na ujumbe wake, wakionyweshwa maumbo ya namna kiwanda cha viatu cha Huajian mjini Dongguan, China, alipotembelea kiwanda hicho, Machi 13, 2013, akiwa katika ziara ya mafunzo, nchini China. (Picha na Bashir Nkoromo).
Wafanyakazi wa Kiwanda cha viatu cha Huanjian, Dongguan, wakiwa kazini.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na ujumbe wake, wakipata maelezo kwa video, kuhusu kiwanda cha viatu cha Huajian mjini Dongguan, China, alipotembelea kiwanda hicho, Machi 13, 2013, akiwa katika ziara ya mafunzo, nchini China. (Picha na Bashir Nkoromo)
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top