 |
| Mkurugenzi
wa Kitengo cha Sheria katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa, Balozi Irene Kasyanju akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya
Sheria katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Denmark, Balozi Thomas Winkler
kuhusu ushirikiano kati ya Tanzania na Denmark katika masuala ya sheria
na mikataba mbalimbali ya kimataifa ikiwemo masuala ya kupambana na
Uharamia. Mazungumzo hayo yalifanyika Wizarani tarehe 20 Machi, 2013. |
 |
| Balozi Winkler akichangia hoja wakati wa mazungumzo hayo huku Balozi Kasyanju akimsikiliza. |
 |
| Balozi
Kasyanju akimsikiliza Balozi Winkler wakati wa mazungumzo yao. Wengine
katika picha ni Bw. Elisha Suku (kulia), Afisa Mambo ya Nje katika
Kitengo cha Sheria, Wizara ya Mambo ya Nje, Bi. Mille Sofie Brandrup
(kushoto), Afisa kutoka Idara ya Sheria za Kimataifa, Wizara ya Mambo ya
Nje ya Denmark na Bw. Lars Bo Kirketerp Lund, Afisa kutoka Ubalozi wa
Denmark hapa nchini. |
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Jamii
on Wednesday, March 20, 2013
Post a Comment