Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

ADHA YA MVUA JIJINI DAR ES SALAAM

Mmoja wa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam akiwa amepanda mkokoteni kuvushwa kutoka upande mmoja wa barabara kwenda mwingine maeneo ya Kariakoo

Wananchi anuai wakivushwa kwa mikokoteni kuepuka kuingia kwenye maji yanayofurika mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam, hii ni maeneo ya Kariakoo jana.

Mvua jijini Dar es Salaam ni kero kwa kila mmoja. Picha mbalimbali juu zikionesha wananchi wakipambana kukabiliana na kero za kujaa maji barabarani, hii ni eneo la Msimbazi.

Maji kujaa kwenye barabara mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam ni kitu cha kawaida, hii ni Gerezani, Kariakoo.
Picha kwa hiani ya The Habari
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top