 |
| Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue
akibadilishana mawazo na mabalozi na wawakilishi wa nchi washirika wa maendeleo kabla ya mkutano
aliowaandalia leo Mei 30, 2014 katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro hotel jijini
Dar es salaam kuzungumzia michango
katika Kapu la Afya (Health Basket Fund) pamoja na mpango wa serikali wa
kuiingiza sekta ya afya katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa
(BRN) |
 |
| Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (wa saba kutoka kushoto) akiwa katika
mazungumzo na mabalozi na wawakilishi wan chi washirika wa maendeleo
katika mkutano
aliowaandalia leo Mei 30, 2014 katika hoteli ya Hyatt Kilimanjaro hotel
jijini
Dar es salaam kuzungumzia michango
katika Kapu la Afya (Health Basket Fund) pamoja na mpango wa serikali wa
kuiingiza sekta ya afya katika kutekeleza Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa
(BRN)
PICHA NA IKULU
|
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Jamii
on Friday, May 30, 2014
Post a Comment