Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

BOMOA BOMOA YA MANISPAA YAENDELEA MBEZI BEACH (BLOCK K) JIJINI DAR

Manispaa ya wilaya ya Kinondoni kushirikiana na Wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi wakiwa wameweka tangazo lao katika ukuta wa uzio wakimaanisha eneo hilo lisitumike kwa maana ya maeneo ya wazi.
mmmm










  Nyumba nyingine eneo hilo nayo ikisubili kubomolewa na manispaa ya Kinondoni. 
 Ubomoaji ukiendelea.   
Familia ya nyumba inayotakiwa kubomolewa na manispaa wakitoa dhamani za ndani ili kupisha ubomoaji.







 Ubomoaji ukiendelea katika maeneo ya Mbezi Bichi jijini Dar es Salaam.
 Wazee wa kazi wakiwa katia geti la nyumba inayotakiwa kubomolewa  maeneo ya mtaa wa  Libermann Mbezi Bichi jijini Dar es Salaam leo.
 Ubomoaji wa uzio wa nyumba maeneo ya Libermann Mbezi Bichi jijini Dar es Salaam leo mara baada ya kubisha hodi na kutokufunguliwa.
Uzio umebomolewa na watu wakiwa ndani kwaajili ya ubomoaji wa nyumba hiyo ambayo imejengwa maeneo ambayo ni ya wazi.
Magari yakiwa ndani ya nyumba inatotakiwa kubomolewa.
 Magari ya kitolewa nje ili kupisha ubomoaji wa nyumba maeneo ya  Libermann Mbezi Bichi jijini Dar es Salaam leo.
Wenyeji wa nyumba ambayo imeanza kubomolewa uzio wakitoa vitu ndani ili kupisha ubomoaji wa nyumba hiyo.
 

 Wakazi wa nyumba nyeupe inayobomolewa wakitoka nje ya nyumba baada ya kuanza kubomolewa na manispaa ya Kinondoni.




 Wananchi wakihamisha vitu kupisha bomoabomoa.
 
Wananchi waangalia jinsi manispaa inavyobomoa nyumba Mbezi bichi jijini Dar es Salaam leo
Picha zote na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top