Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

DK TULIA ACKSON NDIE NAIBU SPIKA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Dk. Tulia Ackson amechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambapo ameshinda kwa kura 250 sawa na asilimia 71.2% ambapo mshindani wake Mhe. Magdalena Sakaya alipata kura 101.

Idadi ya Wabunge inayotakiwa ni 394, waliosajiliwa 369, akidi ni 184 na waliohudhuria ni 351 na hakukuwa na kura iliyoharibika.

Uchaguzi wa Naibu Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wabunge Wote 394

Wabunge waliopiga kura 369

Akidi ya wabunge wanaotakiwa 184

Wabunge Waliopo na kupiga kura 351

Kura Zilizoharibika 0

Magdalena Sakaya 101(28%)

Dr Tulia 250(71.2%)
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top