Wakazi
mbalimbali mkoani Lindi wajumuika katika kufanya usafi wa mji huo huku
msanii Mrisho Mpoto akiunga mkono juhudi hizo kwa kushiriki. https://youtu.be/mBCEkJQZauA
Mkazi
mmoja mkoani Lindi afariki dunia baada ya kuangukiwa na udongo wakati
akichimba mchanga na kupelekea mkuu wa wilaya hiyo kusitisha shughuli za
uchimbaji. https://youtu.be/LKuZvVb_arU
Umoja
wa wanawake wa chama cha mapinduzi UWT wawaomba wananchi na viongozi
wote wa dinizote nchini kumuombea Raisi Magufuli ili aweze kuendelea na
hatua anazochukua ili kuleta tija kwa wananchi.
Siku
chache baada ya Azam tv kurusha habari ya wazazi na walezi nchini
kushauriwa kutowabagua na kuwatelekeza watoto wenye ulemavu, baadhi ya
wakazi wa Shinyanga wajitokeza kuwatembelea.
Walimu
wa Shule za sekondari na msingi wilayani Sengerema mkoani Mwanza
waandamana wakishinikiza serikali kulipa malimbikizo ya madai yao. https://youtu.be/x0c-TsDUMac
Kampuni
ya AZAM yafanya uchunguzi juu ya taarifa zinazosambazwa kuwa kampuni ya
Bakhresa inahusika na upotevu wa makontena bandarini huku ikikanusha. https://youtu.be/vC-chXWKxAc
Chama
cha walimu CWT mkoani Iringa kimeitaka serikali kulipa madeni ya walimu
na kupandisha mishahara ili waweze kuendana na kasi ya Rais Magufuli. https://youtu.be/pvcCWhUihXs
Familia
moja ya marehemu Ally Kondo Mkasi imelazimika kulala nje kwa muda wa
wiki moja baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kubomolewa huku
wakiutuhumu uongozi wa serikali ya mtaa kuhusika;https://youtu.be/55MdaU6Q9JE
Papa Franscis awasili Jamhuri ya Afrika ya kati huku akitegemewa kujaribu kusuluhisha mgogoro wa kidini ulioko nchini humo. https://youtu.be/EPOKobrpTnE
Umoja
wa wananchi kutoka jumuiya ya nchi za Afrika mashariki ZINDUKA umetoa
pendekozo la lugha ya Kiswahili itumike katika mijadala ya mikutano yote
ya nchi za Afrika mashariki; https://youtu.be/10WgiXJ7zFA
Imeelezwa
kuwa zaidi ya watu 1000 wenye vurusi vya UKIMWI katika halimashauri ya
wilaya ya Iramba wamereja katika tiba baada ya kuacha kwa takribani
miaka mitatu iliyopita; https://youtu.be/-tMnA09dZV0
Serikali imewaomba wazazi nchini kuwaruhusu watoto wao wa kike kushiriki katika michezo husuani mchezo wa mpira wa miguu; https://youtu.be/Q31s1wfjrSA
Wafanyabishara
wengi nchini bado wanakabiliwa na ulewa mdogo kuhusu mikopo wanayokopa
hali ambayo inawafanya washindwe kustawi ipasavyo. https://youtu.be/mmKY5mYPdUQ
Halimashauri ya wilaya ya Kaliua mkoani Tabora imesema italifanya kaburi la Mtemi Mirambo kuwa sehemu ya kivutio cha utalii; https://youtu.be/-R5OxdyHhnE
Post a Comment