Mwanamuziki mahiri kutoka Nigeria, Ayodeji Ibrahim Balogun 'Wizkid'
jana alizikonga vilivyo nyoyo za mashabiki waliohudhuria katika onyesho
lake la Wizkid Live in Dar lililofanyika kwenye Viwanja vya Leaders jijini Dar.
Onyesho hilo pia lilinogeshwa na wanamuziki wakali wa hapa nchini akiwemo Diamond Platnumz, Christian Bella, Fid Q na Ben Pol.
(Picha: Musa Mateja GPL)
Post a Comment