Mheshimiwa Edward Lowassa na Mheshimiwa
Freeman Mbowe wakiwa kijijini alipozaliwa Alphonse Mawazo ambapo
shughuli za mazishi zimefanyika.
Mke wa Alphonse Mawazo akishriki mazishi ya mumewe yaliyofanyika Kijijini kwao Mkoani Geita.
Mtoto wa Alphonse Mawazo Preciuos Mawazo akionekana mwenye sura ya huzuni wakati wa mazishi ya Marehemu baba yake.
Precious Mawazo akibusu mwili wa marehemu baba yake.
Jeneza lililobeba mwili wa Alphonse Mawazo likiingizwa kwenye kaburi.
Mgombea urais wa UKAWA kupitia Chadema Mh Edward Lowassa akiwa na Mwenyekiti wa chadema Mh Freeman Mbowe wakiangalia mahali ambapo Alphonse Mawazo aliuawa.
Post a Comment