Mwenyekiti wa Wafanyabiashara wa Team Mabadiriko kutoka
soko kuu la Kariakoo, Severin Mushi, akizungumza wakati akiutambulisha
ujumbe wake kwa Aliekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh.
Edward Lowassa, walipokwenye kumuona jana Januari 14, 2016.
Aliekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward
Lowassa akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyabiashara wa
Team Mabadiriko kutoka soko kuu la Kariakoo, mara baada ya kuzungumza
nao jana, Jijini Dar es salaam
Aliekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akizungumza na Ujumbe wa Wafanyabiashara wa Team Mabadiliko kutoka soko kuu la Kariakoo, Jijini Dar es salaam waliomtembelea Ofisini kwake jana Januari 14, 2016.
Post a Comment