Askari
wakiwahoji waendesha pikipiki (wa pili na watatu kulia) waliogongana
katika Barabara ya Morocco eneo la Bonde la Mkwajuni, Dar es Salaam.
Nawote wamekimbizwa katika Hospitali ya Mwananyamala na watatu kulia
mkono inadaiwa umevunjika kwa juu ya maungio ya kiganja cha mkono wa
kushoto na mguu wakushoto kuwa na maumivu makali na wapili kulia maumivu
ya mguu (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Mmoja
wa Dereva wa Pikipiki (wakwanza kulia) akikabidhi nyaraka zake kwa
Askari na alikuwa akienda kupata matibabu katika Hospitali ya Kairuki na
kukimbizwa wote wawili katika Hospitali ya Mwananyamala
Dereva akitoa maelezo kwa Askari waliokua katika Bonde la Mkwajuni
Post a Comment