Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KUELEKEA MKUTANO WA BUNGE CCM WAKUTANA DODOMA KUWEKA MIKAKATI YA KUWAKABILI UKAWA

Wabunge wa CCM wakimsikiliza Mbunge wa Kibakwi Mhe. Boniface Simbachawene wakati akifafanua mambo mbali mbali kwenye ukumbi wa NEC, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma.
Mbunge wa Jimbo la Isimani Mhe. William Lukuvi akichangia hoja kwenye semina ya wabunge wa CCM.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana (katikati) ambaye ndie mwenyekiti wa kikao maalum chenye kutoa semina elekezi kwa wabunge wa CCM, kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mhe. Philip Mangula na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kushoto).
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi Mhe. Mwigulu Nchemba akifuatilia kwa makini hoja mbali mbali zilizotolewa na wabunge wa CCM kwenye semina maalum elekezi kwa ajili ya wabunge wa CCM mjini Dodoma.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top