Mahi1: Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga
akihutubia wakati akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano ya
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika Mchapalo wa Mwaka Mpya
kwa Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi mbalimbali za Kimtaifa maarufu
kama "Sherry Party" Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumatatu February 8,
2016
Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi mbalimbali za Kimtaifa wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga
akihutubia wakati akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano ya
Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli katika Mchapalo wa Mwaka Mpya
maarufu kama "Sherry Party" Ikulu jijini Dar es salaam leo Jumatatu
February 8, 2016.PICHA NA IKULU
Post a Comment