Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TASWIRA MBALI MBALI ONYESHO LA MITINDO LA LADY IN RED JIJINI LONDON

 Lady in Red iliyofanyika siku ya Jumamosi Februari 13, 2016 jijini London, uingereza maalum kwa siku ya wapendanao iliyoandaliwa na ClubMalibu na kufanywa na mama nguli wa mitindo Asya Idarous Khamsini huku ikinogeshwa na msanii wa Bongo Flava Rich Mavoko.
 Mlimbwende akipita mbele ya mashabiki wa mitindo jijini London kwenye onesho la Lady in Red ililofanywa na mama mitindo nguli Asya Idarous Khamsini mwenye maskani yake mji wa Houston jimbo la Texas, Onesho hilo lililohudhuriwa na mashabiki wa mitindo jijini London lilinogeshwa na msanii wa Bongo Flava Rich Mavoko.
 Walimbwende wakipita mbele ya mashabiki wa mitindo.







author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top