|
Meneja Mkuu wa Kampuni ya SG ya nchini India, Dkt. Pralay Dey akiwasilisha mada kuhusu Role of SMEs in Industrialization: Lessons from India kwa Watumishi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda
na Kimataifa, Taasisi na Idara mbalimbali za Serikali (hawapo pichani),
katika mhadhara huo uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu
Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam Dkt. Dey alieleza umuhimu wa
Tanzania kuwa na mradi wa
Mfano wa Uzalishaji wa Viwanda Vidogo "incubator" ili kufikia mapinduzi ya viwanda na kuwawezesha Watanzania kupata ajira. |
|
Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki (kushoto) pamoja na Naibu Balozi wa India, Bw. Robert, wakifuatilia mada kutoka kwa Dkt. Dey (hayupo pichani). |
|
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa katikaWizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Selestine Mushi akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo nchini (SIDO) Injinia Omary Bakari wakifuatilia mada. |
|
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa. Bi. Mindi Kasiga ambaye pia alikuwa mratibu na muongozaji wa Mdahalo naye akifuatilia mdahalo huo. |
|
Mmoja wa washiriki wa mdahalo huo akichangia hoja. |
|
Baadhi
ya Maafisa kutoka Taasisi na Idara mbalimbali za Serikali walioshiriki
Mhadhara ulioandaliwa na Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika
Mashariki, Kikanda na Kimataifa. |
|
Baadhi
ya Wakurugenzi wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika
Mashariki, Kikanda na Kimataifa wakijadili jambo na mtoa mada mara baada
ya kumaliza mhadhara huo. |
|
Picha ya pamoja. |
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Post a Comment