Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

TOTTENHAM YAIKALIA KOONI LEICESTER CITY YAIPIGA STOKE CITY BAO 4-0






Mbio za ubingwa wa Ligi maarufu zaidi duniani ya EPL zinaingia katika hatua tamu sana baada ya hapo jana Tottenham kupunguza pengo la pointi na vinara wa ligi hiyo  Leicester City na kufikia pointi tano baada ya kuifunga Stoke City bao nne kwa bila.
Mshambuliaji wa Tottenham Hotspur, Harry Kane na Dele Alli ndio walikuwa mashujaa jana  baada ya kuifungia mabao mawili timu yao katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Britannia.Sasa timu hiyo inafikisha pointi 68 baada ya kucheza mechi 34 na kuendelea kukaa nafasi ya pili nyuma ya Leicester City yenye pointi 73 za mechi 3.
CHANZO:Daily Mail
 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top