Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MWANAMKE AOKOLEWA HAI KUTOKA KWENYE KIFUSI BAADA YA SIKU SITA

Baada ya kisa cha mtoto kuokolewa baada ya kukaa kwenye kifusi siku nne,leo Mwanamke aokolewa akiwa hai baada ya kukaa ndani ya kifusi siku 6 kwenye jengo lililoporomoka eneo la Huruma Nairobi.

Huku baadhi ya ndugu jamaa na marafiki wakizidi kuomba mungu ili wapendwa wao wengine wasiojulikana waliopo waweze kuokolewa wakiwa hai.

Hii imetokea baada ya mtoto wa mwaka mmoja na miezi sita hivi kuokolewa akiwa hai.

Kuanguka na jumba hilo la ghorofa 7 kumesababisha vifo vya watu 33 na wengine 80 hawajulikani walipo.

There was celebration as rescuers found the woman who was weak but without physical injuries at the Huruma collapsed building. This happens after a child aged about one and a half years, was found emaciated under the debris on the first floor of the building on Tuesday. Death toll at the collapsed building is now at 33, those missing are 80 as search for more victims is extended to nearby river.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/article/2000200762/woman-pulled-out-alive-from-collapsed-huruma-building
There was celebration as rescuers found the woman who was weak but without physical injuries at the Huruma collapsed building. This happens after a child aged about one and a half years, was found emaciated under the debris on the first floor of the building on Tuesday. Death toll at the collapsed building is now at 33, those missing are 80 as search for more victims is extended to nearby river.
Read more at: http://www.standardmedia.co.ke/article/2000200762/woman-pulled-out-alive-from-collapsed-huruma-building
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top