Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

20% KURUDI KIVINGINE KUACHIA NGOMA MPYA JULAI 18

Msanii mkongwe wa muziki, Abbas Hamisi Kinzasa ‘20%’ amerudi katika label yake ya zamani ‘Combination Sound’ inayosimamiwa na mtayarishaji mkongwe wa muziki nchini Man Water.
Man Water

20% akisaini mkataba mbele ya Man Water pamoja na mwanasheria


Muimbaji huyo ambaye mwaka 2011 alitwaa tuzo saba za Kilimanjaro Music Award (KTMA) kwa mara moja, huku producer wake Man Water akichukua tuzo mara mbili mfululizo za producer bora (mwaka 2013 na 2014), tayari amesharekodi ngoma kadhaa chini ya producer huyo.


Kupitia instagram, Man Water ameandika: Twenty Percent is back 2016, kaa mkao wa kula ngoma zenye jumbe nzito na za kusisimua, kila kitu kiko sawa sasa, new page.

20% kwa sasa anajipanga kuachia wimbo wake mpya utaotoka Julai 18 mwaka huu huku akijapanga kuandaa albamu yake iitwayo ‘Sauti ya Gharama’.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top