Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

JAJI MKUU ATEMBELEA BANDA LA GLOBAL LINK EDUCATION VIWANJA VYA SABASABA



Jaji Mkuu , Othman Chande, akiwasili Viwanja vya maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu , Othman Chande akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, wakati alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu ,Othman Chande akiongozwa na Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, wakati alipokuwa akitembelea kuangalia huduma mbalimbali kwenye Banda hilo jinsi Wananchi wanavyoweza kujiunga na vyuo vya nje ya nchi, wakati akiwa katika maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa Viwanja vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) jijini Dar es Salaam.
Jaji Mkuu Othman Chande, akioneshwa na Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, Tuzo mbalimbali walizowahi kutunukiwa.
Jaji Mkuu Othman Chande, akioneshwa na Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel, Tuzo mbalimbali walizowahi kutunukiwa.
Jaji Mkuu , Othman Chande, akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Global Link Education, Abdumalik Mollel alipotembelea banda hilo
Sehemu ya wananchi wakipata huduma katika banda hilo la Global Link Education.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top