Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

HABARI KUTOKA JANGWANI MASHABIKI WA YANGA WAFURIKA KLABUNI KUPINGA KUJIUZULU KWA MANJI

 Mashabi-Yanga
Baada ya Mwenyekiti wa Yanga Yusuf Manji kutangaza kujiuzulu nafasi hiyo, Mashabiki na wanachama wa Yanga wamekusanyika kwenye ofisi za klabu hiyo wakipinga kujiuzulu kwa Manji.Mashabiki hao wengi wao wakieleza hawakubaliani na hatua hiyo ya Manji.

Baadhi ya wanachama na mashabiki wamekuwa wakidai kwamba kuna watu ambao hawataki kumuunga mkono Manji katika zoezi zima la kutaka kuikodi timu pamoja na nembo kwa miaka 10.Hivyo hao mashabiki ambao hawakubaliani na ombi la manji wametakiwa kutokwamisha mpango huo wa kumkodishia Manji timu.

Mzee Akilimali amekuwa akitajwa kuwa miongoni mwa watu wanaopinga kusudi la mwenyekiti wa klabu hiyo Yusuf Manji kuikodi klabu hiyo.Mzee Akilimali alisikika katika mahojiano na redio moja jijini Dar es salaam akipingaa mpango huo.


author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top