Mkurugenzi wa kituo cha 
Mkubwa na Wanawe, Saidi Fella akikagua kwa ndani nyumba za wasanii hao 
zilizojengwa nje ya mji Eneo la Mbande Kisewe.

Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Saidi Fella akikagua kwa ndani nyumba za wasanii hao zilizojengwa nje ya mji Eneo la Mbande Kisewe.
Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Saidi Fella akikagua kwa ndani nyumba za wasanii hao zilizojengwa nje ya mji Eneo la Mbande Kisewe.
Mkurugenzi wa Kituo cha Mkubwa na Wanawe Saidi Fella akikagua nyumba ambazo zipo kwenye hatua ya mwisho ya umaliziaji.
Mkurugenzi wa Kituo cha Mkubwa na Wanawe Saidi Fella 
akionyesha baadhi ya bidhaa zenye nembo ya Yamoto Band zitakazopatikana 
nchi nzima.
Nyumba za Wasanii wa Yamoto Band zikionekana kwa muonekano wa nje.
Mkurugenzi wa kituo cha 
Mkubwa na Wanawe, Saidi Fella akikagua kwa ndani nyumba za wasanii hao 
zilizojengwa nje ya mji Eneo la Mbande Kisewe.

Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Saidi Fella akikagua kwa ndani nyumba za wasanii hao zilizojengwa nje ya mji Eneo la Mbande Kisewe.
Mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Saidi Fella akikagua kwa ndani nyumba za wasanii hao zilizojengwa nje ya mji Eneo la Mbande Kisewe.
Mkurugenzi wa Kituo cha Mkubwa na Wanawe Saidi Fella akikagua nyumba ambazo zipo kwenye hatua ya mwisho ya umaliziaji.
Mkurugenzi wa Kituo cha 
Mkubwa na Wanawe Saidi Fella akionyesha baadhi ya bidhaa zenye nembo ya 
Yamoto Band zitakazopatikana nchi nzima.
MKURUGENZI
 wa kituo cha Mkubwa na Wanawe, Saidi Fella ameziweka hadharani nyumba 
takribani tano za wasanii wake wa kundi la Yamoto Band na kuwataka 
wananchi waelewe kuwa msanii anahitaji nyumba na sio magari.
Nyumba hizo zilizojengwa nje ya mji kidogo, Katika kata ya Kisewe 
amesema kuwa hiyo ni moja ya maendeleo kwa wasanii, kwani hii si mara ya
 kwanza kuwazawadia nyumba wasanii wake. Amesema ameziweka  hadharani 
baada ya maneno kuzuka kuwa wasanii wa Yamoto Band hawafaidiki na kazi 
wanazofanya
.
Chanzo: MichuziJr
Post a Comment