Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

BARCELONA YASASAMBULIWA NA PARIS SAINT-GERMAN

Mchezo wa hatua 16 bora kati ya Paris Saint-German waliokuwa wenyeji wa Barcelona ni wazi umemchanganya kocha wa Barca baada ya dakika 90 kumalizika kwa PSG kuibuka na ushindi wa goli nne kwa bila, kipigo ambacho kinaifanya PSG kuwa timu ya sita kuifunga Barcelona goli nne katika michezo ya Ligi ya Mabigwa Ulaya.Di Maria gave the hosts the lead as his free-kick went through the wall before ending up in the back of the Barcelona net


Luis Enrique amesema PSG walijipanga kuwathibiti jambo lililofanya mchezo huo kuwa mgumu kwao tangu dakika ya kwanza hali iliyosababisha kukubali kichapo cha goli nne lakini hatakata tamaa kwani lolote linaweza kutokea katika mchezo wa marudiano.
 The Paris Saint-Germain players dash over to the corner to celebrate with Di Maria after his goal stunned Barcelona

“Ulikuwa mchezo wenye maafa makubwa, sio ngumu kuelezea, PSG walikuwa wazuri kuliko sisi tangu mwanzo. Walikuwa na kasi na walikuwa wazuri zaidi wakiwa na mpira. Ni wazi tulikuwa dhaifu,

“Ninawajibika kwa hili na hakuna mtu mwingine wa kulaumiwa. Lawama zote zinaniangukia mimi, wachezaji wao hutupa furaha tu na bado kuna hatua nyingine siwezi kupoteza matumaini,” alisema
 A combination of Ter Stegen and Andre Gomes had to keep out an effort from Blaise Matuidi before half-time

Magoli ya PSG katika mchezo huo yalifungwa na Angel Di Maria aliyefunga magoli mawili, Julian Draxler na Edinson Cavani, mchezo wa marudiano wa Barcelona na Paris Saint-German utapigwa Machi, 8 katika uwanja wa Camp Nou
 
CREDIT:MO Dewji Blog na Daily Mail
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top