Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

BARABARA JIJI LA MWANZA ZAZIDI KUKARABATIWA

Mafundi wa kampuni ya Jasco wakiendelea na ujenzi wa barabara ya Libert jijini Mwanza.

Barabara ya Libert kutokea barabara ya Uhuru inavyoonekana sasa kufuatia kuendelea kwa ujenzi wake unaofanywa na kampuni ya Jasco ya jijiniMwanza.

Eneo la barabara ya Uhuru kuelekea Mlango mmoja jijini Mwanza, ambalo limekuwa ni sehemu korofi ambapo kwa sasa inakarabatiwa kutokana na kuwa kero kubwa wakati wa mvua zinaponyesha.

Mafundi wakitandaza nondo ili kumwaga zege kudhibiti eneo hilo katika barabara ya Uhuru jijini Mwanza ambalo limekuwa kero kupitika wakati wa mvua zinaponyesha.  


Via G Sengo

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top