Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Didier Drogba asaini Shanghai Shenshua

Didier Drogba amesaini Klabu ya Shanghai Shenhua ya China kwa mkataba wa miaka 2 na nusu.
Hivyo kuna uwezekano mchezaji huyo kukutana uso kwa uso na Manchester United July 25 wakati Man U watakapo kuwa kwenye michezo ya kujiandaa na Msimu ujao wa EPL.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top