Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Ajali ya MV Skagit: Waziri Zanzibar ajiuzulu

Katikati ni aliyekuwa waziri wa mawasiliano na miundombinu Hamad Masoud Hamad
Waziri wa Mawasiliano na Miundombinu mjini Zanzibar, Hamad Masoud amejiuzulu wadhifa wake baada ya kuwepo kwa shinikizo la kuachia ngazi lilitoka kwa wananchi.

Hatua hii imekuja kufuatia madai ya wananchi kuwa ajali za meli zimekuwa zikiongezeka mjini Zanzibar bila yeye kuchukua hatua.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top