
Hii ni mojawapo ya vivutio vya utalii ambavyo havijatangazwa sana na kuwavutia watalii wengi.Ni Maji ya chemchemi ambayo ni yana uvuguvugu muda wote ni watalii wachache sana wanao kuja eneo hilo nje kidogo ya Kijiji cha Ngulu,wilaya ya Hai,Mkoa wa Kilimanjaro.Mida ya jioni baada ya shughuli zao za kutwa nzima vijana wa ngulu huja hapa na kuogolea. Panaitwa Chemka.
This post was written by: Author Name
Your description comes here!
Get Free Email Updates to your Inbox!
Filed Under:
Jamii
on Saturday, July 14, 2012
Post a Comment