Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye na Baadhi ya Mawaziri Walioalikwa Kueleza Utekelezaji wa ilani ya CCM Katika Sekta Wanazohusika Nazo

Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo, Jumapili, Julai 22, kinatarajiwa kuutikisa mkoa wa Kigoma, kwa mkutano wake mkubwa wa hadhara, utakaofanyika kwenye Viwanja vya Communicy Cetre mjini Mwanga mkoani hapa.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye
Ofisi za CCM Mkoa wa Kigoma zilizopo Mwanga
Maandalizi ya Jukwaa yakiwa hatua za mwisho hiyo jana
Bendera zikiwa zimewekwa katika uwanja wa Community Centre utakao fanyika mkutano huo leo huko Mkoa wa Kigoma.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top