Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

Sir Alex Ferguson aihofia Chelsea, Barclays 2012/2013

Kapteni wa Man United Rio akiongea na waandishi wa habari Shanghai ambapo wanatazamia kucheza na Shanghai Shenhua hapo kesho watakapokutana na uso kwa uso na Drogba na Anelka
Sir Alex akisikiliza kwa makini swali toka kwa muandishi wa habari walipokuwa wanaongea kuhusiana na mechi yao na Shanghai Shenhua hapo kesho.

Wakiwa wameshikilia Kombe ambalo litashindaniwa huko China.

Kocha Sir Alex Fergurson ameweka wazi kuwa msimu huu wa EPL washindani wao wakubwa ni Chelsea kutokana na timu hiyo kuchukua Ubingwa wa Klabu Bingwa ya Ulaya.

Anasema kuwa Roman alikuwa na hamu sana na Ubingwa huo na ameupata hivyo itakuwa chachu kubwa sana kwa timu hiyo kuendeleza makali yao ili waweze kuchukua tena Ubingwa wa EPL 2012/2013.
Pia Chelsea wamefanya usajili mzuri msimu huu kwa kuwachukua Mjerumani Marko Marin na Mbeligiji Eden Hazard hivyo timu hiyo imeimarika.

Hata hivyo amesema timu yake iko imara kurudisha heshima yake na wako tayari kwa mapambano.
Hapo keshowanakutana uso kwa uso na Drogba na Anelka na timu nzima ya Shanghai SHenhua.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top