Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

STREET CUP:MPAMBANO KATI YA REMINATI FC NA POLICE KOTA TABATA SHULE




Golikipa wa Police Kota akifuatilia kwa makini jinsi mpambano unavyoendelea akiwa na jezi ya mchezaji wa Arsenal Arshavin
Beki wa Polisi Kota kulia akiangalia kwa makini mpira uliokuwa unatoka nje ili mpinzani wake asiupate na kuleta madhara golini mwake.
Mshambuliaji wa Reminati Fc akitabasamu baada ya kupigiwa filimbi na refa kuwa ameotea hivyo kutoa tabasamu kali kwa golikipa wa Polisi baada ya kubaki wao wawili kabla ya filimbi.






Beki akiwa anaangalia mpira wa kona unaoelekea golini mwake


Kama ilivyo kawaida ya viwanja vyetu wapita njia nao wakikatiza
Kona hiyo ikielekea golini mwa Polisi Kota na Kapten(jezi namba 9) akiwa makini na golikipa wake akiwa tayari kuucheza mpira huo.




Baadhi ya Mashabiki wakiwa wamekaa pembeni mwa Shule ya Msingi Tabata wakifuatilia kwa makini mpambano huo kati ya Reminati Fc vijana wa Tabata Bima na Police Kota wakimenyana.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top