Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU MWAKA 2015 SITTA AIPIGA CHADEMA KIJEMBE

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, akiwa ameshikilia silaha za jadi baada ya kusimikwa kuwa mzee wa kimila wa kabila la Wanyambo, katika hafla iliyofanyika juzi kwenye ofisi ya CCM ya Wilaya ya Karagwe, mkoani Kagera. 
(Picha na Edwin Mjwahuzi)
................................................
Kuelekea uchaguzi  Mkuu mwaka 2015 vijembe vinakolea kila kukicha kila chama kikijinasibu na kila mwanachama wa chama husika akionyesha umahiri wake hii yote ni kuelekea 2015 ni mengi tutayaona ukizingatia alie pale magogoni kwa sasa yeye hatagombea tena muda wake umefikia ukomo.Sasa kila mmoja wetu anatamani sana kukaa magogoni.

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Sitta yeye anasema kuwa katika CHADEMA tishio ni Dk.Slaa tu pale wengine mmmh !!.

Je Unakubaliana na kauli hiii ya Mheshimiwa Waziri ?
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top