Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MAKARANI WA SENSA KITUO CHA SHULE YA SEKONDARI MANISPAA YA KINONDONI WAZUA TAHARUKI WAKIDAI POSHO ZAO WATISHIA KUGOMA

 Makarani wa sensa wakipata changamoto kutoka kwa maafisa wa polisi walipofika katika eneo hilo kutaka kujua lini watalipwa posho zao.
Afisa wa sensa ambaye hakutaka jina lake litajwe akiongea na makarani wa sensa nakuwataka walipwe kiasi cha nusu ya posho ambayo ni shilingi 140,000,hata hivyo makarani hao waligoma wakidai kulipwa posho zao zote ndipo waingie kazini,
 Makarani wa sensa  kituo cha shule ya sekondari manspaa ya Kinondoni wakiimba wimbo wakutaka kulipwa posho za semina  ya siku saba kiasi cha shilingi 245,000 ambapo madai yao ilikuwa walipwe jana lakini mpaka sasa bado hakuna hata mmoja ambae amelipwa.
 Waandishi wa habari wakimhoji afisa wa sensa kutaka kujua chanzo cha vurugu hizo.
Makarani wa sensa wakiwa wamelizingira gari la afisa wa sensa kushinikiza kulipwa posho zao.
 
Picha na Philemon Solomon Via Haki Ngowi Blog.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top