Barabara
ya Mafinga Kibao wilayani Mufindi ikitengenezwa sasa japo kuna
tetesi kuwa Rais Kikwete anategemewa kufanya ziara katika wilaya
hiyo kwa ajili ya kuzindua mradi wa umeme maeneo ya unaofadhiliwa EU
katika eneo la Mwenga

Ujenzi wa Barabara nchini umeshika kasi hii ni katika kuziunganisha sehemu mbalimbali nchini ili ziweze kupitika kwa urahisi katika kipindi chote cha mwaka.
nao hauko nyuma katika kuunganisha sehemu za vijijini na Wilayani.Ubovu wa barabara unaaminika kuchangia kupanda kwa
Post a Comment