Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

WADAU WAHIMIZWA KUPIGIA KURA VIVUTIO VYA TANZANIA

Tumia fursa hii kupigia kura vivutio vya Tanzania ili viweze kuwa miongoni mwa maajabu saba ya asili ya bara la Afrika. Vivutio vya Tanzania vinavyoshindanishwa na vingine tisa (9) barani Afrika ni Mlima Kilimanjaro, Bonde la Ngorongoro, na hifadhi ya Serengeti.
na upige kura yako
.................................
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imeutangaza Mlima Kilimanjaro, Bonde la Ngorongoro na Hifadhi ya Serengeti kuwa ni vivutio vitakavyoshindanishwa ili kupata maajabu saba ya asili ya Bara la Afrika.Mkurugenzi Mtendaji wa TTB, Dk Aloyce Nzuki alisema jana jijini Dar es Salaam kwamba mashindano  hayo yatavishirikisha vivutio vya asili 12 kutoka Bara la Afrika.Alisema Tanzania ndiyo nchi pekee yenye vivutio vingi vya utalii  na kwamba imepata nafasi ya kuvishindanisha vivutio vyake  vitatu
Alisema hayo vivutio vya Tanzania kupaishwa Afrika ni jukumu letu Watanzania kufanya hivyo.
Pia unaweza kupata habari mbalimbali kuhusu utajiri wa maliasili nchini kwa kutemblea tovuti ya nchi inayoelezea pia vivutio vilivyopo nchini.Vilivyojaa kila kona na nchi  ikikabiliwa na shinikizo la Wananchi kuvitangaza vivutio hivyo ili viweze kuiletea nchi mapato ya kutosha.

Tembelea pia tovuti ya mkoa wa Lindi ambayo nayo wameonysha vivutio vilivyopo huko katika sekata hii inayokabiliwa na changamoto nyingi.


author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top