Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

KINYANG'ANYIRO CHA U-NEC SHIGELA,MWIGULU NA JANUARI WAKOMAA KULINDA KURA ZAO

 Katibu Mkuu wa UVCCM, Martine Shigela (kushoto) akifuatilia kwenda 'kuthibiti' kura zake zilipokuwa zikipelekwa kwenye chumba cha kuhesabia, baada ya kura hizo kupigwa
 Januari Makamba na Mwigulu Nchemba na baadhi ya wagombea wengine, wakiwa kwenye chumba cha kuhesabia kura katika kinachoonekana kujaribu 'kulinda' kura zao. Wengine ni Vijana waliokuwa wanashughulika na upigaji kura huo
 SASA UMEKOMAA!  John Shibuda wa Chadema, akimwabia Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakati waki-chati ukumbini wakati wa mkutano huo, kabla ya upigaji kura.
Picha na Daily Nloromo Blog
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top