Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

FIFA RANKING NOVEMBER 2012: TANZANIA YASHIKA MKIA AFRIKA MASHARIKI

Tanzania, imeshuka nafasi mbili toka nafasi ya 132 hadi nafasi ya sasa ya 134 katika orodha ya FIFA iliyotolewa na kupatikana mwezi huu Novemba katika website ya FIFA. Mbali na kuporomoka huko kwa nafasi mbili, Tanzania ndio inashirikia mkia kwa nchi za Afrika Mashariki , wakati  Uganda ikiongoza kwa nchi za Afrika Mashariki kwa kuwa nafasi ya 86.  

Mabingwa wa zamani wa soka duniani Brazil, imejikuta ikitupwa nje ya kumi bora, ambapo nafasi ya kwanza bado inaendelea kushikiriwa na Hispania. Jionee zaidi hapa chini

Orodha hizi zimenukuliwa toka www.fifa.com

author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top