Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

MAHAFALI YA 5 YA CHUO KIKUU CHA RUAHA IRINGA LEO KATIKA PICHA

Mtumishi  wa Manispaa ya Iringa Bw Msunza akiwa na familia yake  mara baada ya  kuhitimu katika  chuo  hicho cha RUCO leo wakipata taswira ya kumbukumbu ili kuweka mambo sawa.

 Umati  wa wananchi  waliofika katika mahafali hiyo  leo wakiwa katika  viwanja  vya chuo cha Ruco Iringa
 Wahitimu na ndugu  wa wahitimu  wakichagua  picha  zao ili kuzinunua baada ya kupigwa na wapiga picha wa kujitegemea
Soga za hapa na pale huku paparazi nao wakiwajibika  Mawasiliano ya simu yakishika kasi na wenye maua wakiwa na wapendwa wao ni katika kuifanikisha  shughuli  hiyo
 Meneja  wa vipindi radio Nuru Fm Godfrey Ngulla akiwa na mkewe katika mahafali hiyo leo
Wengine inabidi watafutwe kwa simu maana hawajulikani wapo wapi wapambwe maua ,,ndivyo afanyavyo dada pichani kulia hapo simu mkononi
Ndugu jamaa na marafiki wakijumuika pamoja na wahitimu kupita kumbukumbu kwa tukio hili muhimu baada ya kulamba nondozz
Wadau wakiwa wenye furaha baada ya kula nondozz...................
Wapiga picha kama kawaida yao huwa 'fasta' hapo wahitimu wakiangalia picha zao wakati huo sherehe zikiendelea.
Baada ya shughuli ya mahafali ndugu jamaa na marafiki walipata wasaa wa kupata picha mbalimbali za kumbu kumbuili katika maeneo mbalimbali ya Chuo.

Picha kwa hisani kubwa ya Mzee wa Matukio Daima.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top