Nguzo ikiwa imelala chini baada ya kuparamiwa na gari ya abiria liyekuwa kuwa mwendo kasi hivyo kukosa muelekeo na kusababisha kisa hicho.
Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa zaidi ya uharibifu wa nguzo hiyo na basi lililogonga nguzo hiyo. |
Kumekuwepo na kutupiwa lawama kwa madereva wa magari pamoja na boda boda kutojali sheria za usalama barabarani hali inayo changia uharibifu wa mali na pamoja na kupoteza uhai wa watu.Hali hiyo imechangiwa na madereva hao kutumia kinywaji kinywaji kikali maafuru kama viroba wawapo kwenye kwenye gari wakiendesha ambacho huweka kwenye chupa ya maji ili kuwazubaisha watu wadhani dereva anakunywa maji kumbe ni kilevi hicho.(SOMA:Madereva huendesha wakinywa ‘viroba’ vya pombe katika chupa za maji safi)
Dereva wa gari hiyo iliyosababisha ajali alikimbia baada ya ajali ili kukwepa mkono wa sheria na kuliacha gari hapo.
Picha na Mbeya Yetu.
Post a Comment