Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

WAGOSI NDIO SIE BANA

 Shabiki ambae hakufahamika mara moja akiwa kajiaandika mwilini maandishi mbalimbali kuwatia shime wana Tanga kabla ya pambano lao na Yanga akisalimiana na mashabiki wengine kwenye mabucha barabara ya 11
 Coastal Union Baba Lao ndivyo alivyoandika kifuani shabiki huyo akipozi kwa picha
 Jerry Santo kiungo wa Coastal Union
Kwa tabasamu kubwa akiondoka kuelkea na hamasa yake kuwahimiza mashabiki wengine kuelekea Uwanja wa Mkwakwani kuwashangilia wagosi wa Tanga  mechi iliyoisha kwa Yanga kuibuka na ushindi wa goli mbili kwa bila.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top