Featured

    Featured Posts

    Social Icons

Loading...

ZANZIBAR YAIDUWAZA RWANDA

Beki wa Zanzibar, Nassor Masoud 'Chollo' akiondoka na mpira mbele ya kiungo wa Rwanda, Haruna Niyonzima
Wachezaji wa Zanzibar Heroes wakishangilia baada ya Mcha kuifungia bao la kwanza hivyo kuamsha  chereko kunako dakika ya 8 ya mchezo.
Picha na Kilimanjaro Premier Lager
Vialli kushoto akishangilia bao lake la pili, kulia ni Suleiman Kassim 'Selembe' 

Wachezaji wa Zanzibar wakishangilia bao la pili kwa staili ya kupiga kasia.Picha na Bongo Staz Blog.
Zanzibar wamejihakikishia nafasi ya robo fainali baada ya kuichapa Rwanda. Wakicheza kwa taabu katika uwanja wa Namboole ambao kwa mara nyingine leo ulikuwa umejaa tope la mvua, Zanzibar walipata bao la kwanza dakika ya 8 kupitia kwa Khamis Mcha. Alikuwa ni Mcha tena katika dakika ya 62 aliepigilia msumali wa pili kabla ya Rwanda kupata bao la kufutia machozi katika dakika ya 80.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
Chediel . Powered by Blogger.
© Copyright Rundugai Blog
Back To Top